Kaimu Jaji Mfawidhi Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Morogoro, Amir Mruma amesema wananchi wengi hawajui haki zao katika kupata huduma muhimu ikiwemo umeme na maji.
MAHAKAMA Kuu Tanzania Kanda ya Morogoro, kwa kushirikiana na taasisi 45 wameweka kliniki ya msaada wa kisheria bure, kwa ...
RAIS Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk.Jakaya Kikwete amewaonya Watanzania kuacha kutumia mwamvuli wa dini kujenga chuki na kuleta ...
Watu wawili wanaume wamefariki dunia kwa nyakati tofauti kutokana na athari za maji yaliyotokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali ndani ya Mkoa wa Morogoro. Kamanda wa Polisi wa mkoa ...
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limewaomba abiria wanaofanya safari zao kati ya Dar es Salaam, Morogoro na Dodoma kupanga ...
Wakizungumza na waandishi wa habari leo Januari 20,2025 Dar es Salaam, wanaharakati hao wametoa wito kwa Serikali za nchi za ...
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Yusuf Masauni amesema Serikali ya Tanzania imechukua hatua za kuimarisha ...
STRAIKA tegemeo wa Tanzania Prisons, Samson Mbangula atakosa mechi zote zilizobaki msimu huu baada ya kufanyiwa upasuaji wa ...
KLABU ya mbio za magari ya Mount Uluguru imetwaa taji la klabu bora ya mwaka 2024 na kupewa tuzo maalum katika hafla ya ...
Hali hii anasema itachochea biashara zisizo rasmi kusajiliwa na hivyo kusaidia kuziba pengo lililopo baina ya utekelezaji wa ...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema mlipuko unaoshukiwa kuwa wa virusi vya ugonjwa wa Marburg umewaua watu wanane katika mkoa wa Kagera Kaskazini magharibi mwa Tanzania. Taarifa ya shirika hilo ...